Friday, 31 October 2014

TANGAZO

FURAHIA ZANZIBAR!! Tarehe 07/11/2014. Best Travel Solutions Tumeandaa safari ya kwenda kisiwa cha karafuu kwa siku 3. Gharama za usafiri wa boat, malazi na ada kwenda Prison Island, Spice Farm na Stone Town ni Tsh 225,000/- kwa mtu mmoja (single) au Tsh 390,000/- watu wawili (couple). Wahi sasa nafasi ni chache. Kwa maelezo zaidi piga 0653952515. Karibu sana!

No comments:

Post a Comment