Wednesday, 20 November 2013

Wakati unausikiliza wimbo huu jipe moyo na ujikubali kuwa unaweza kuwa vile unavyotaka uwe !!

Ukijikubali utajiamini,utakuwa na utayari,uvumilivu pamoja na jitihada.
Kamwe usikate tamaa shika sana ulichonacho.

No comments:

Post a Comment